Napenda kumshukuru Mugu kwa siku ya jana na leo pia na siku zote ambazo amekuwa akinlinda kama mjaa wake......Nipo ziarani nchini uingereza bado.....nikiwa mbali na nyumbani...! Nashukuru ma fans wangu wote wanao ni support na wanaonitia nguvu kwa ujumla.... The kid from Tz bado nakinukisha vibaya niakikishe historia inabakia hapa...!! Nipo Mji mwingine mbali kidogo na Jiji lalondon,Reading..... Namalizia show Yangu ya mwisho kabla ya kugeuka home sweet home.....I Miss home... I miss my Mama yangu Bi sandrah,I miss my sister Esma khan,Halima kimwana na wote home sweet home....much love to ya'll.... GOD BLESS U ALL... |
No comments:
Post a Comment