shuka nayo mtu wangu....
Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.
Pichani ni mchezaji Mrisho Ngasa akisaini Yanga
JUHUDI za Simba kutaka kuona kiungo Mrisho Khalfan Ngassa anaifunga Yanga juzi zilikwama pamoja na kumuahidi mamilioni ya fedha kama angefunga bao katika mechi hiyo ya watani.
“Simba walimuahidi Ngassa shilingi milioni tatu kwa kila bao ambalo angefunga dhidi ya Yanga, alikubaliana nao lakini akaniambia asingeweza kufanya hivyo kwa kuwa yeye ni Yanga damu,”
No comments:
Post a Comment