Tazama Picha kilichojili ktk tamasha la siku ya muziki duniani

Super Maya Baikoko kutoka Tanga wakifanya vitu vyao kwenye tamasha la siku ya muziki duniani lilifonyika jana kwenye viwanja vya posta Kijitonyama Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo

Mratibu wa Utamaduni wa Goethe Institut-Tanzania, Daniel Semheho (kulia) akiteja jambo na kiongozi wa kundi la Super Maya Baikoko Juma Nassoro (kushoto) katikati ni Mzungu Kichaa.

Godzila

Ben Paul

Sarakasi pia zilikuwepo, kutoka makini kids

Msanii Nyemo

Barnaba na bendi yake

Jhiko Man

Kala Jeremiah
Tamasha hilo liliandaliwa na umoja wa ulaya wa taasisi za utamaduni
(EUNIC) na kudhaminiwa na Fastjet, Pepsi, Total na balozi za Ujerumani
na Ufaransa.
No comments:
Post a Comment