Akitangaza maazimio ya Kamati Kuu, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NEC CCM, NAPE NNAUYE amesema, ushiriki wa Chama cha Mapinduzi kama mabaraza ya katiba yamelenga kuongeza idadi ya wanachama watakaotoa maoni juu ya upatokanaji wa katiba mpya.
Mbali na mpango huo tayari Rasimu ya kwanza iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeainisha uwepo wa Serikali tatu hali inayowapa wasiwasi Wananchi wengi juu ya muundo wake na hapa NNAUYE anatoa msimamo wa chama ikiwa Wanachama watakubali mfumo huo.
No comments:
Post a Comment