Tuesday 19 March 2013

HIZI NDIO PICHA ZAKE

BAADA KUKAA KIMYA KWA MUDA MREFU VIDEO QUEEN KATIKA WIMBO WA MASOGANGWE AGNESS MASOGANGE ATUPIA PICHA NYINGINE





AGNESS WA MASONGANGWE ATUPIA PICHA NYINGINE

BAADA YA KUKAA KIMYA KWA MUDA MREFU VIDEO QUEEN KATIKA WIMBO WA MASOGANGWE WA MSANNI BELL9 AMEAMUA KUTUPIA PICHA NYINGINE

Monday 18 March 2013

ASKARI WA USALAMA BARABARANI AFARIKI DUNIA

ASKARI WA USALAMA BARABARANI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI KATIKA MATAA YA KUONGOZA MAGARI YALIYOPO BANAGA JIJINI DAR ES SALAM NA KUFARIKI HAPO HAPO.

BREAKING NEWS

Askari wa usalama barabarani katika mataa ya kuongezea magari yaliyoko eneo la Bamaga Dar es Salaam amegongwa na gari na inadhaniwa amekufa papo hapo.

Endelea kusikiliza @[390756010942311:274:East Africa Radio] kwa habari zaidi.

KAULI YA RAIS KUHUSU VIFO VYA AKINA MAMA

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMESEMA HAJARIZISHWA NA KASI YA KUPUNGUZA IDADI YA VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO LICHA YA SERIKALI KUONGEZA JUHUDI KATIKA SUALA HILO IKIWEMO KUONGEZA BAJETI KATIKA WIZARA HUSIKA KUTOKA BILIONI 271 HADI KIFIKIA TRILIONI 1.5.
.Rais Jakaya Kikwete ameeleza kutoridhishwa na kasi ya kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na kutaka hatua zaidi zichukuliwe kuhakikisha tatizo hilo linaisha huku akieleza jitihada zinazofanywa na serikali ikiwemo ongezeko la bajeti ya wizara ya afya kutoka bilioni 271 hadi kufikia trilioni 1.5.

ABDALLAH HAMIS AMBUA APATA AJALI

MTANGAZAJI WA REDIO NA TV WA EAST AFRICA RADIO NA TV AMEPATA AJALI LEO ASUBUHI WAKATI ANAELEKEA KAZINI KUFANYA KIPINDI, AJALI HIYO IMETOKEA MAENEO YA MAGOMENI ILA YEYE ANAENDELEA VZURI ILA HALI YA GARI YAKE SIO NZURI.
HII NI PICHA YA MTANGAZAJI ABDALLAH HAMIS AMBUA(DULLAH)
Pole Dullah kwa ajali ya Gari.

Mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo Abdallah Ambua (Dullah) ambaye kwa bahati mbaya leo asubuhi wakati anaelekea kazini kufanya kipindi East Africa Radio amepata ajali ya gari. 

Abdallah amesema amepata ajali hiyo akiwa maeneo ya Magomeni katika mataa lakini yeye anaendelea vizuri ila tu gari yako ndo imeharibika vibaya.

Friday 15 March 2013

BONGO EPIQ STAR SEARCH NDANI YA MTWARA

EPIS BONGO STAR SEARCH NDANI YA MTWARA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 23/03/2013 WAKAZI WA MTWARA NA JIRANI KAENII MKAO WA KULA. NA HII ITAKUA PALE VIWANJA VYA UMOJA KWA KIINGILIO CHA SH 2000 TU.
Epiq Day na Epiq Stars ndani ya Mtwara, weekend ijayo Jumamosi ya tarehe 23/03/2013. Katika uwanja wa Umoja kwa kiingilio cha buku mbili tu. Usikoseeee!

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA WEMA SEPETU

NA HUU NDIO MWANADADA WEMA SEPETU ANAVYOONEKANA KATIKA SURA MPYA BAADA YA KUAMUA KUNYOA NYWELE ZAKE. FUNGUKA APO MTU WANGU AMETOKELEZEA AU?

Thursday 14 March 2013

DIAMOND AMUAGIZIA GARI MPYA MPENZI WAKE MPYE

MSANII DIAMOND PLATINUM AMEAGIZA GARI MPYA KWA AJILI WA MAMA WATOTO WAKE MTARAJIWA AMBAE NI MJAMZITO AINA FULANI YA YUNDAI
.
.PICHANI NI DIAMOND AKIWA NA MAMA WATOTO WAKE MTARAJIWA AMBAE NI MJAMZITO

HIVI UNAZUNGUMZIAJE KUHUSU HUYU DOGO ALIMUOA BIBI WA MIAKA 61?

UNALIONGELEAJE HILI SUALA LA HUYU DOGO KUMUOA BIBI WA MIAKA 61 YEYE AKIWA NA MIAKA 8 AU WEWE MTU WANGU UNAAMINI KWELI UWEPO WA MIZIMU YA NAMNA HII? FUNGUKA MTU WANGU. 
Unazungumziaje stori ya dogo Sanele Masilela mwenye umri wa miaka 8 wa Afrika Kusini kuoa mwanamke mwenye miaka 61 Bi. Helen Shabangu, katika kutimizia matakwa ya mizimu?

Je, unaamini kuna mizimu? Imeshawahi kukutokea? Je, unaamini kutokewa na kupewa maagizo na ndugu, jamaa au marafiki waliokwisha kufa?

JAMANI HII DIGITAL TENA?

HEBU NIAMBIE HII NDIO NNI TENA MTU WANGU FUNGUKA APO
Tuambie kuhusu picha hii...

KALA JEREMAYA AACHIA NYIMBO MPYA

KALA JEREMAYA AMETOA WIMBO MPYA UITWAO KARIBU DAR AKIMSHIRIKISHA MSANII BEN POL VIDEO YA WIMBO HUO ITATOKA IJUMAA.

HUYU NDIYE DADA LADY GAGA ASIYEISHIWA VITIMBI

HAPA AKIWA AMEPOZI BAADA KUFANYIWA OPARESHENI YA HIPS ZAKE

Lady Gaga

Mara baada ya kufanyiwa oparesheni, Lady Gaga ameketi kwenye ambacho kimetengenezwa kwa kutumia dhahabu. Kiti hiki kimetengenezwa na fundi sonara aliyejulikana kwa jina Ken Borochovi.




Wednesday 13 March 2013

PAPA MPYA APATIKANA

HATIMAYE JANA USIKU PAPA MP YA APATIKANA(PAPA FRANCIS VI KUTOKA NCHINI ARGENTINA
BABA MTAKATIFU MPYA AMEPATIKANA....
Baba Mtakatifu mpya amepatikana ...

HILI NDIO GOLI LA KWANZA LA MESSI JANA USIKU

HUKO VATICAN KUMENUKA

 Hali si shwari huko vatican city kwan bado hakijafahamika nani atakaye kua Papa mpya.
 
 
 Moshi mweusi umetokeza katika paa la Hekalu mjini Vatican, kumaanisha kuwa bado makadinali hawajaafikiana juu ya nani Papa mpya.
Moshi mweusi umetokeza katika paa la Hekalu mjini Vatican, kumaanisha kuwa bado makadinali hawajaafikiana juu ya nani Papa mpya.
 HUYU NDIYE MTOTO MWENYE UMRI WA MIAKA 8 AMBAE AMEMUOA BIBI MWENYE UMRI WA MIAKA 61 HUKO AFRIKA KUSINI
OMG: South African boy aged 8 marries 61-year-old to Make his ancestors Happy (PHOTOS) http://www.talkofnaija.com/news/174809_omg-south-african-boy-aged-8-marries-61-year-old-to-make-his-ancestors-happy-photos